Enzi Zao: Ezekiel Barngetuny

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 апр 2025
  • Hebu tafakari kwamba rais wa jamhuri anakuamini kiasi cha kwamba wewe ni mmoja wa wachache wanaoweza hata kutuliza hasira zake akikasirika.Hebu fikiria ukiwa na uwezo wa hata kugeuza mawazo ya rais na kumshawishi atende au asitende jambo fulani. Basi huo ndio uwezo ambao mzee Ezekiel Barngetuny alikuwa nao dhidi ya Rais mstaafu Daniel Moi, wakati Moi alipokuwa mamlakani. Wiki hii kwenye makala ya enzi zao, Franklin Macharia anamwangazia Ezekiel Barngetuny, mwandani wa rais mstaafu Daniel Moi.

Комментарии • 30

  • @josseskosgey
    @josseskosgey 5 лет назад +2

    He was a respected man. Barng'etuny Secondary School - Kapchumba was established in honor of his memory.

  • @mtuwawatuhoyee6549
    @mtuwawatuhoyee6549 3 года назад +1

    Hii kabila liliumiza na kuteza kenya !, Tuliumia sana miaka ishirini na nine bila maendeleo na ukabila mwingi bila aibu.

  • @Temboz
    @Temboz 6 лет назад +6

    is it me or does this guy sound exactly like Nyayo(Moi).

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 6 лет назад +2

    Barngetuny the Legend

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee 7 лет назад +2

    Anataja Mungu lakini accumulate wealth while others Hunger!

  • @curiosity151
    @curiosity151 12 лет назад +6

    Ha ha ha, he sounds like Moi!!

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Год назад +1

    Ulimwengu sio yeti lakini 2k acres ya nini.

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 2 года назад

    Huwa napenda hizi mazungumzo ya wazeee

  • @Sololo_Arap_Mutai
    @Sololo_Arap_Mutai 6 лет назад

    Gotab Sololo 🐝🐝

  • @siasabora
    @siasabora 13 лет назад +5

    the era of mediocrity n sycophancy....that wrecked a nation.

  • @indivirabonnymatenje7290
    @indivirabonnymatenje7290 8 лет назад +3

    Rip mzee

  • @HannahmTV
    @HannahmTV 13 лет назад +1

    god 2000 acres rundisha ardhi ya wakenya ndio ata even with 91 years your keys to heaven or hell r missing!!!! waizi

  • @wwjd3792
    @wwjd3792 5 лет назад +1

    This goon Moi should have died in prison, he committed alot of crimes against humanity towards his people and squandered Kenyans resources. May he rot in hell where he belongs.

  • @Jasubakende
    @Jasubakende 13 лет назад

    He is in remarkable health the old codger!

  • @angelatwist8085
    @angelatwist8085 5 лет назад +2

    Barngetuny plaza

  • @geoffreyokwemba7876
    @geoffreyokwemba7876 6 лет назад +1

    2k acres!?🤔🤔 mine is barely 2 acres

    • @paulkabira543
      @paulkabira543 5 лет назад

      So it is enough for you

    • @ericotieno8331
      @ericotieno8331 3 года назад

      Heri wewe uko na mbili. Wengine hatuna kitu buana.

  • @erickwainaina1504
    @erickwainaina1504 6 лет назад +1

    naguwa mashintano

  • @BelindaOkech
    @BelindaOkech 12 лет назад +1

    umesema ukweli jambopatty.how many people work from morning to evening and cant even afford 1 acre?kama chma fulani kingefanya mtu apate haya mali yote,anyone would say KANU TAMU!we never know which damu they are talking about.yao ama ya watu wengine.oops.so funny ati alikuwa anaenda kuongea na moi kumwmbia mambo ya mungu na kadhalika,basi pia mimi nataka hiyo kazi niwe milionare.Mtu wa mungu,na hiyo shamba iko tu hapo,while pple elsewhere hawana chao.hope hell is big enough.

  • @michaelheery7427
    @michaelheery7427 6 лет назад +1

    Kenyatts has 600,000.

  • @djumoja
    @djumoja 11 лет назад +4

    people asking him to donate his land to idps are sick.. kwani he does not have family and people in his community that are poor.. this man is 91 and he got his land during kenyattas time with his own money.. stop being jealous and thinking everyone with land stole land shit.. go to another african country and buy land there instead of demonizing everyone with land..clowns

  • @alisinyayala1
    @alisinyayala1 13 лет назад

    Donate some land to the IDPS

  • @oslojeremy
    @oslojeremy 13 лет назад

    no wonder we hade idps xxxxxxx20000000 ha ulipata wapi aje vipi

  • @gideongathekiamkoloni5043
    @gideongathekiamkoloni5043 6 лет назад

    Ganu ntamu